18 Ingawa hakukuwa na tumaini, lakini kwa kutegemea tumaini, alikuwa na imani kwamba angekuwa baba ya mataifa mengi kulingana na yale yaliyokuwa yamesemwa: “Ndivyo utakavyokuwa uzao wako.”*+
18 Ijapokuwa alikuwa amepita hali ya kuwa na tumaini,+ bado kwa kutegemea tumaini alikuwa na imani, ili awe baba ya mataifa+ mengi kwa kupatana na yale yaliyokuwa yamesemwa: “Ndivyo utakavyokuwa uzao wako.”+