36 Lakini kama yeyote akiona kwamba anajiendesha isivyofaa kwa kubaki mseja,* na ikiwa amepita upeo wa ujana, basi inapaswa kuwa hivi: Acheni afanye anavyotaka; hafanyi dhambi. Acheni afunge ndoa.+
36 Lakini kama yeyote akiona kwamba anajiendesha isivyofaa kuelekea ubikira+ wake, ikiwa huo umepita upeo wa ujana, na hivyo ndivyo inavyopaswa kutendeka, acheni afanye lile analotaka; hafanyi dhambi. Acheni afunge ndoa.+