25 Angalieni kwamba msikatae kumsikiliza* yule anayezungumza. Kwa maana ikiwa wale waliokataa kumsikiliza yule aliyetoa onyo kutoka kwa Mungu duniani hawakuponyoka, je, kweli sisi tutaponyoka ikiwa tutamwacha yule anayezungumza kutoka mbinguni?+
25 Angalieni kwamba msimkatae yeye anayesema.+ Kwa maana ikiwa hawakuponyoka, wale waliomkataa yeye aliyekuwa akitoa onyo la kimungu duniani,+ sisi hatutaponyoka hata kidogo tukigeukia mbali kutoka kwake yeye anayesema kutoka mbinguni.+