11 Yeyote akisema, na afanye hivyo kana kwamba anasema maneno matakatifu kutoka kwa Mungu; yeyote akihudumu, na afanye hivyo kama anayetegemea nguvu ambazo Mungu hutoa;+ ili katika mambo yote Mungu atukuzwe+ kupitia Yesu Kristo. Utukufu na nguvu ni zake milele na milele. Amina.