10 Malaika wa tatu akaipiga tarumbeta yake. Na nyota kubwa inayowaka kama taa ikaanguka kutoka mbinguni, ikaanguka juu ya theluthi moja ya mito na juu ya chemchemi za maji.*+
10 Na malaika wa tatu akaipiga tarumbeta yake. Na nyota kubwa inayowaka kama taa ikaanguka kutoka mbinguni,+ nayo ikaanguka juu ya sehemu ya tatu ya mito na juu ya chemchemi za maji.+