8 Na patakatifu pakajaa moshi kwa sababu ya utukufu wa Mungu+ na kwa sababu ya nguvu zake, na hakuna yeyote aliyeweza kuingia patakatifu mpaka yale mapigo saba+ ya wale malaika saba yalipomalizika.
8 Na patakatifu pakajawa na moshi kwa sababu ya utukufu wa Mungu+ na kwa sababu ya nguvu zake, na hakuna yeyote aliyeweza kuingia katika patakatifu mpaka yalipomalizika yale mapigo saba+ ya wale malaika saba.