Waamuzi 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Akajibu, “Tunatoka Bethlehemu kule Yuda nasi tunaenda mbali katika eneo lenye milima la Efraimu, nyumbani kwetu. Nilienda Bethlehemu katika nchi ya Yuda,+ nami ninaenda kwenye nyumba ya Yehova,* lakini sijakaribishwa na yeyote.
18 Akajibu, “Tunatoka Bethlehemu kule Yuda nasi tunaenda mbali katika eneo lenye milima la Efraimu, nyumbani kwetu. Nilienda Bethlehemu katika nchi ya Yuda,+ nami ninaenda kwenye nyumba ya Yehova,* lakini sijakaribishwa na yeyote.