Yeremia 35:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: ‘Nenda uwaambie watu wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu: “Je, hamkuendelea kuhimizwa myatii maneno yangu?”+ asema Yehova.
13 “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: ‘Nenda uwaambie watu wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu: “Je, hamkuendelea kuhimizwa myatii maneno yangu?”+ asema Yehova.