Yeremia 35:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Nenda, uwaambie watu wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu: “Je, ninyi sikuzote hamkupokea himizo la kuyatii maneno yangu?”+ asema Yehova.
13 “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Nenda, uwaambie watu wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu: “Je, ninyi sikuzote hamkupokea himizo la kuyatii maneno yangu?”+ asema Yehova.