Zekaria 14:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Na huu ndio ugonjwa hatari ambao Yehova atawaletea watu wote wanaopigana vita na Yerusalemu:+ Miili yao itaoza wakiwa wamesimama, macho yao yataoza yakiwa kwenye matundu yake, na ndimi zao zitaoza vinywani mwao. Zekaria Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 14:12 jd 32; w96 7/1 22 Zekaria Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 14:12 Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,12/2017, uku. 4 Mnara wa Mlinzi,2/15/2013, uku. 207/1/1996, uku. 22 Siku ya Yehova, uku. 32 Usalama Ulimwenguni Pote, kur. 157-158
12 “Na huu ndio ugonjwa hatari ambao Yehova atawaletea watu wote wanaopigana vita na Yerusalemu:+ Miili yao itaoza wakiwa wamesimama, macho yao yataoza yakiwa kwenye matundu yake, na ndimi zao zitaoza vinywani mwao.
14:12 Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha,12/2017, uku. 4 Mnara wa Mlinzi,2/15/2013, uku. 207/1/1996, uku. 22 Siku ya Yehova, uku. 32 Usalama Ulimwenguni Pote, kur. 157-158