2 Wafalme 19:34, 35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 “Nitalilinda jiji hili+ na kuliokoa kwa ajili yangu mwenyewe+Na kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu.”’”+ 35 Usiku huohuo malaika wa Yehova alienda na kuwaua wanaume 185,000 katika kambi ya Waashuru.+ Watu walipoamka asubuhi na mapema, waliona maiti zote hizo.+ Yoeli 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nitakusanya pia mataifa yoteNa kuyaleta chini kwenye Bonde la* Yehoshafati.* Na humo nitawahukumu+Kwa ajili ya watu wangu na urithi wangu Israeli,Kwa maana waliwatawanya miongoni mwa mataifa,Nao waligawana nchi yangu miongoni mwao.+
34 “Nitalilinda jiji hili+ na kuliokoa kwa ajili yangu mwenyewe+Na kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu.”’”+ 35 Usiku huohuo malaika wa Yehova alienda na kuwaua wanaume 185,000 katika kambi ya Waashuru.+ Watu walipoamka asubuhi na mapema, waliona maiti zote hizo.+
2 Nitakusanya pia mataifa yoteNa kuyaleta chini kwenye Bonde la* Yehoshafati.* Na humo nitawahukumu+Kwa ajili ya watu wangu na urithi wangu Israeli,Kwa maana waliwatawanya miongoni mwa mataifa,Nao waligawana nchi yangu miongoni mwao.+