-
Marko 14:14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
14 na popote atakapoingia, mwambieni mwenye nyumba, ‘Mwalimu anasema: “Kiko wapi chumba cha wageni ambamo ninaweza kula Pasaka pamoja na wanafunzi wangu?”’
-
-
Marko 14:14Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
14 na popote pale aingiapo ndani mwambieni mwenye nyumba, ‘Mwalimu asema: “Kiko wapi chumba cha wageni kwa ajili yangu ambacho katika hicho naweza kula sikukuu ya kupitwa pamoja na wanafunzi wangu?”’
-