-
Marko 14:14Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
14 na popote pale aingiapo ndani mwambieni mwenye nyumba, ‘Mwalimu asema: “Kiko wapi chumba cha wageni kwa ajili yangu ambacho katika hicho naweza kula sikukuu ya kupitwa pamoja na wanafunzi wangu?”’
-