-
Yohana 16:25Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
25 “Nimewaambia mambo haya kwa mifano. Saa inakuja ambapo sitazungumza nanyi tena kwa mifano, bali nitawaeleza waziwazi kumhusu Baba.
-
-
Yohana 16:25Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
25 “Nimewaambia nyinyi mambo haya kwa malinganisho. Saa inakuja wakati ambapo hakika sitasema nanyi tena kwa malinganisho, bali hakika nitaripoti kwenu waziwazi kuhusu Baba.
-