-
Yohana 19:20Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
20 Wayahudi wengi walilisoma tangazo hilo, kwa sababu mahali ambapo Yesu alitundikwa mtini palikuwa karibu na jiji, nalo liliandikwa katika Kiebrania, Kilatini, na Kigiriki.
-
-
Yohana 19:20Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
20 Kwa hiyo wengi wa Wayahudi walisoma hili tangazo, kwa sababu mahali ambapo Yesu alitundikwa mtini palikuwa karibu na jiji; nalo liliandikwa katika Kiebrania, katika Kilatini, katika Kigiriki.
-