-
Yohana 19:20Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
20 Kwa hiyo wengi wa Wayahudi walisoma hili tangazo, kwa sababu mahali ambapo Yesu alitundikwa mtini palikuwa karibu na jiji; nalo liliandikwa katika Kiebrania, katika Kilatini, katika Kigiriki.
-