-
1 Wakorintho 11:22Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
22 Je, hamna nyumba ambamo mnaweza kula na kunywa? Au je, mnalidharau kutaniko la Mungu na kuwaaibisha wale wasio na kitu? Niwaambie nini ninyi? Je, niwapongeze? Kuhusu hilo siwapongezi.
-
-
1 Wakorintho 11:22Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
22 Hakika mna nyumba za kulia na kunywea, sivyo? Au je, mwalidharau kutaniko la Mungu na kufanya wale wasio na kitu waaibike? Nitawaambia nyinyi nini? Je, nitawasifu nyinyi? Katika hilo siwasifu nyinyi.
-