Waamuzi 18:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Basi akasema: “Mmeichukua miungu+ ambayo nilitengeneza,+ kuhani+ pia, nanyi mnaenda zenu, nami nina nini tena?+ Basi mnawezaje kuniambia, ‘Una nini wewe?’”
24 Basi akasema: “Mmeichukua miungu+ ambayo nilitengeneza,+ kuhani+ pia, nanyi mnaenda zenu, nami nina nini tena?+ Basi mnawezaje kuniambia, ‘Una nini wewe?’”