2 Samweli 19:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Akamwambia mfalme: “Bwana wangu asinihesabie kosa, nawe usikumbuke kosa ambalo mtumishi wako alifanya+ siku ile bwana wangu alipotoka Yerusalemu, hivi kwamba mfalme aweke hilo moyoni mwake.+
19 Akamwambia mfalme: “Bwana wangu asinihesabie kosa, nawe usikumbuke kosa ambalo mtumishi wako alifanya+ siku ile bwana wangu alipotoka Yerusalemu, hivi kwamba mfalme aweke hilo moyoni mwake.+