19 Kwa hiyo Yehova amesema hivi: “Ukirudi, basi nitakurudisha.+ Utasimama mbele zangu.+ Na ukileta kilicho cha thamani kutoka katika vitu visivyo na thamani, utakuwa kama kinywa changu. Wao wenyewe watarudi kwako, lakini wewe mwenyewe hutarudi kwao.”