Ezekieli 42:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana yalikuwa katika ghorofa tatu,+ nayo hayakuwa na nguzo kama nguzo za zile nyua. Ndiyo sababu sehemu kubwa zaidi ilipunguzwa katika vile vya chini zaidi na katika vile vya katikati kutoka ukutani.
6 Kwa maana yalikuwa katika ghorofa tatu,+ nayo hayakuwa na nguzo kama nguzo za zile nyua. Ndiyo sababu sehemu kubwa zaidi ilipunguzwa katika vile vya chini zaidi na katika vile vya katikati kutoka ukutani.