WAZEE
(Pia huitwa Wanaume Wazee)
(Ona pia Halmashauri ya Hukumu; Mapendeleo ya Utumishi; Waangalizi Wanaosafiri; Wazee 24; Wazee Waliochaguliwa kwa Kura; wadhifa hususa)
(Kuna kichwa kidogo: Waangalizi)
baraza la wazee: w11 6/15 26-27; jv 106
jukumu la kuamua kama inafaa kutoa hotuba ya mazishi katika Jumba la Ufalme: od 122; km 5/02 7; km 3/97 7
jukumu la kumweka mshauri msaidizi katika Shule ya Huduma ya Kitheokrasi: km 11/02 4
kukubali maoni ya wengine katika mikutano ya wazee: w08 3/15 5
mawasiliano: w06 5/1 19-20
mratibu: km 11/08 3
umoja: od 37; w99 6/1 12-13
utu wenye nguvu: w99 12/1 29
wazee wanapaswa kuheshimiana: w10 10/15 18
wazee wanapaswa kuwa na namba za simu au anwani za kila mhubiri: km 5/08 3; km 5/07 3
wazee wanapokuwa na maoni yanayotofautiana: bt 107
wazee wanatumika pamoja kwa amani: w01 9/1 12-13
wazee wote wana mamlaka sawa kutanikoni: jv 106
huduma ya shambani: jr 133; w04 3/15 15; jv 212-214, 569
kuhubiri pamoja na ndugu na dada: w06 5/1 18-19
kuongoza katika kazi ya kuhubiri: w10 9/15 13-14
majira ya Ukumbusho: km 1/08 4; km 2/04 3-4; km 3/01 6
kesi za hukumu: w11 9/15 30-31; jr 137-139, 148; re 50-51; od 151-158
haki: jd 78-82; cl 164; ip-1 27; w98 8/1 15-17
halmashauri za hukumu: od 151-152
jinsi ya kumtendea anayeshtakiwa: w09 9/15 16-17; w98 8/1 15-17
kesi ngumu: jd 80
kosa ambalo mhubiri aliyebatizwa karibuni amefanya: w96 1/15 18-19
kuepuka upendeleo (ubaguzi): jd 80-81
kufanya uchunguzi kabla ya kikao ili kuthibitisha kama mtu ana hatia: w06 9/15 30; od 151-152
kutafuta ‘hukumu ya amani’ (Zek 8:16): jd 78-79, 82; w96 1/1 20
mashahidi: w97 8/15 27-28
msiba wa barabarani unaosababisha kifo: w06 9/15 30; w06 12/15 30
mtazamo: w96 3/15 23
rehema: w98 10/1 16-17
kufuata sheria ya Kristo: w96 9/1 22-23
kujibu maswali: be 144
‘kujitahidi kufikia cheo’ (1Ti 3:1): w11 6/15 23; w11 11/15 31-32; w10 5/15 24-28; w09 11/15 16; w08 10/15 28; od 37-38; km 12/04 1; w03 9/15 23; w01 1/1 9; w00 7/1 29; w99 12/1 28; km 5/99 8
ndugu hastahili kuwekwa ikiwa bado anapambana na tamaa mbaya: w97 1/1 27
unyenyekevu: w99 8/1 14
waliokuwa wazee Wakristo: w99 11/15 20-21
kuomba msaada kutoka kwa wazee wengine Wakristo: w02 3/1 16; km 3/00 8
kuondolewa: od 38-39
tangazo: od 40
kuonyesha wanaamini kwamba wengine wana nia nzuri: be 158, 192, 266-267; w96 9/1 23
kusamehe dhambi za wengine: w96 4/15 28-29
kushauriana na wazee wengine Wakristo: w98 2/15 26
kuungama kwa wazee Wakristo: w10 9/1 23-24; w08 12/15 11; w06 11/15 28-29; w01 6/1 30-31; w01 8/15 30; g97 1/22 12
kumtia moyo mtu aliyefanya kosa aungame: g96 1/22 16
mtu anapokunywa kupita kiasi au kuvuta sigara faraghani mara moja moja: w06 11/15 30; w96 1/15 18
kuwaheshimu—
wazee wanapaswa kuheshimiana: w10 10/15 18
wote kutanikoni: w10 10/15 18; w08 10/15 22; w08 12/15 30; w00 6/15 21-22
kuwajulisha wazee Wakristo kuhusu makosa ya Mkristo mwenzi:
marafiki wanapohusika: g96 1/22 16
kuwakabidhi wengine majukumu: w09 6/15 29-31; w02 1/1 31
kuwashauri wengine: w11 11/15 30-31; jr 131-132, 135-137; w09 6/15 18; lv 143; w06 4/1 20; od 146-147; be 203-204; cl 164-165; w00 6/15 22; w99 6/15 13
chati “Mshauri Mwenye Matokeo”: w97 3/1 26
kuepuka kukosea wakati wa kutoa mashauri: w97 3/15 16
kuhimiza: be 265-267
kuhusu kupatana au kutalikiana: g99 4/22 6
kumsaidia mtu kuelewa jinsi kanuni za Biblia zinavyohusika: w96 9/1 22-23
kupongeza wakati wa kutoa mashauri: w97 8/1 17-18
kutoa shauri kwa kutumia Biblia na vitabu: w08 4/15 7; be 144
kutoa shauri kwa upole: w03 4/1 24-25
“kuwaonya ninyi” (1Th 5:12): w11 6/15 27-28
mtu anapokasirika kwa sababu ya kushauriwa: w06 5/1 21
mzee hapaswi kutoa maoni yake mwenyewe: w96 9/1 22
ustahimilivu: w06 5/1 20
Yehova ni mfano wa kuigwa: w99 2/1 23
Yesu ni mfano wa kuigwa: w11 11/15 30-31
kuwathamini Wakristo wenzi:
kupongeza wakati wa kutoa mashauri: w97 8/1 17-18
kuwathamini wazee Wakristo: w11 6/15 24-28; w06 7/15 20-21; w04 12/15 21-22; w99 6/1 16-19
dada walioshuka moyo: w02 2/15 23
kuwatia wengine moyo: be 266, 268-271
katika sehemu mbalimbali za mikutano: w10 10/15 24-25
wahubiri wanaotaka kusaidia kuwahubiria watu wanaoongea lugha nyingine: w05 12/1 26
kuwatia wengine nidhamu: jr 137-139; w03 10/1 22-23
kuwatii wazee Wakristo: w08 6/15 21-22; lv 48-49; w07 4/1 28-30; od 38, 210; w02 3/15 15-17; w99 6/1 16-18
sababu za kuwatii: w07 4/1 28-30
kuwekwa rasmi: bt 42-43, 99; w01 1/15 13, 15-16
karne ya kwanza: od 23-24
“kondoo wengine”: re 136; jv 216
kujitahidi kufikia mapendeleo: w11 6/15 23; w11 11/15 31-32; w10 5/15 24-28; w09 11/15 16; od 37-38; w03 9/15 23; w01 1/1 9; w00 7/1 29; w99 12/1 28
kwa njia ya roho takatifu: lv 43; od 29, 38; w02 3/15 14-16; w02 8/1 13; w01 1/15 13-16
maandiko yaeleweka wazi zaidi (1932): jv 213, 638-639
maandiko yaeleweka wazi zaidi (1938): jv 217-221, 639
mapendekezo: bt 43; od 35-36, 73; w01 1/15 14
mtazamo unaofaa iwapo ndugu hajawekwa rasmi kuwa mzee: w12 11/15 19; w01 8/15 27-28; w97 3/15 8-11
na Baraza Linaloongoza au na mwakilishi aliyepewa mamlaka: od 40; wt 132-133; w01 1/15 14-16
tangazo: od 40
“wakawaweka rasmi wanaume wazee” (Mdo 14:23): jv 207-208, 218
Wanafunzi wa Biblia: jv 207-209
maelezo: w07 4/15 27; od 27-54; w01 6/1 14-15; w99 6/1 9-19; rq 29
maisha ya familia: w06 5/1 19; w96 10/15 15-24
majukumu: jr 130-139; od 40-42
Waefeso 4:12-16: w99 6/1 11-15
arusi: km 11/08 3
baada ya msiba kukumba eneo la kutaniko lao: km 2/97 7
barua ya kuwajulisha wazee kumhusu Shahidi aliyehamia kutaniko lao: km 10/98 1
funzo la familia: w96 10/15 23
funzo la kibinafsi: jr 133-134
haki: jd 77-82; cl 164-167
jukumu la kuwaalika wasiotenda kwenye Ukumbusho: km 3/07 1; km 3/02 1, 4-5
Jumba la Ufalme: od 121
kazi kuu: jv 569
kuhakikisha kwamba wasiotenda kwa muda mrefu ambao wanataka kuanza kuhubiri tena wanastahili: km 11/00 3
kuhubiri kwa kutumia simu: km 4/04 3
kuiruzuku familia: w96 10/15 22-23
kulinda kundi: w99 6/1 13-14
kushughulikia makosa: od 149-158
kushughulikia mizozo: w11 8/15 30; lv 222-223; w99 3/15 17
kusoma Biblia: w00 10/1 8-9; w96 5/15 17
kutatua matatizo: w11 9/15 32
‘kutimiza kwa ukamili huduma’ (2Ti 4:5): w04 3/15 15
kutofunua mambo ya siri: w07 6/15 20; w97 3/1 28; w97 6/1 11; w96 3/15 18
kuwakaripia wakosaji: od 152-153; w01 11/1 17
kuwalisha ndugu kiroho: w11 6/15 25
kuwapima ndugu “juu ya kufaa” (1Ti 3:10): km 5/00 8
kuwatembelea waliotengwa na ushirika: w96 11/1 14, 16
kuwatia wengine moyo: w99 5/15 26-27
kuwazoeza ndugu: w11 11/15 30
kuwazoeza wahubiri katika huduma: jv 569
kuwazoeza watumishi wa huduma: w06 5/1 23-24; w02 1/1 29-31; w02 4/15 30
kuzungumzia mafundisho ya msingi ya Biblia pamoja na mtu anayetaka kubatizwa: od 83, 181-182, 217-218; w02 4/1 13; w98 7/15 24
kuzungumzia matakwa pamoja na mpya anayetaka kushiriki katika utumishi: km 1/08 1; od 79-81; km 3/03 5
“lihubiri neno” (2Ti 4:2): w03 1/1 29-30
mapendekezo ya kuwaweka rasmi wazee Wakristo na watumishi wa huduma: bt 42-43; cl 165
matayarisho kwa ajili ya Ukumbusho: km 3/04 3; km 3/03 7
usawaziko kati ya majukumu ya kutaniko na ya familia: w11 6/15 22; w09 5/15 19-20; w96 10/15 15-24
usimamizi: w11 6/15 26-27
‘waamuzi na washauri’ (Isa 1:26, 27): ip-1 33-34
wako macho kutambua mwelekeo usiofaa: re 50
wanawakilisha “ukuhani wa kifalme” kutanikoni: w02 8/1 13
wavulana wasio na baba na wajane: ip-1 27
“malaika,” “nyota” (Ufu 1:16, 20; 2:1; 3:1): w10 9/15 27; re 28-29, 33, 54-55, 136; w03 5/15 10; w02 3/15 14
katika mkono wa kuume wa Yesu: w12 10/15 14; w07 4/1 27-28; w03 5/15 10; w02 3/15 14
wazee ambao ni “kondoo wengine”: w10 9/15 27; re 136
mambo ya kuepukwa—
fadhili zisizofaa: w04 4/15 13
kuamua haraka kwamba ndugu ni mwasi-imani: w00 5/1 12
kutojali (kupuuza majukumu): re 55, 57
kutumia mamlaka vibaya: w98 6/1 17-18
kutunga sheria nyingi: w07 6/15 20
mzee hapaswi kumshauri dada wakiwa wawili tu: w06 9/15 27; w96 10/15 17
upendeleo (ubaguzi): jd 80-81; ip-1 78-79, 84
mambo yaliyoonwa:
mzee akubali mapendeleo mengi: w12 8/15 28
mzee Mkristo aliyefanya kosa asaidiwa: w05 4/1 27
mzee Mkristo mwenye umri mkubwa aliyefanya kosa: w11 9/15 30-31
mambo yanayofanya mtu asistahili kuwekwa kuwa mzee:
kazi inayohusisha kuwa na silaha: w05 11/1 31
kukosa kuwafundisha watoto: w96 10/15 22
kumdhulumu mke au watoto: w07 5/1 22; g01 11/8 12; g96 10/22 9
kumdhulumu mtoto kingono: w97 1/1 27-29
kuoa tena baada ya talaka isiyopatana na Maandiko: w97 1/1 28
kupuuza mahitaji ya mke: w96 10/15 18
kutaka makuu: w99 8/1 14
kutoheshimiwa kwa sababu ya kuendesha biashara isivyofaa: km 7/00 1
kutoza mahari kubwa mno: w98 9/15 24-25
mwenendo wa watoto katika visa fulani: w96 10/15 21
si umri wala afya: w08 8/15 20-21; od 39
udhaifu mzito kuhusiana na kusimamia familia: w96 10/15 21
mamlaka: w02 8/1 13-14; cl 101-102; w98 9/1 15
haifai kupiga ubwana juu ya kundi: w11 6/15 23-24; jr 129, 131; w07 6/15 19-20; w06 4/1 20
kutumia mamlaka kwa usawaziko: w06 4/1 19-20; w05 9/15 23
wazee wote wa kutaniko wana mamlaka sawa kutanikoni: jv 106
maswali ya kupitia kabla ya ubatizo: od 217-218; w02 4/1 13; jv 479; w96 1/15 17
idadi ya wazee wanaopaswa kuyashughulikia: od 217; w96 1/15 17
mazungumzo pamoja na mtu mmoja au watu kadhaa wakati uleule: od 217-218
mazungumzo ya kumalizia: od 215-216
muda wa mazungumzo: od 217-218
wazee wanapaswa kumjulisha mhubiri anayetaka kubatizwa kuhusu mavazi yanayofaa: od 216
mifano kwa wazee Wakristo:
Daudi: w11 6/15 21
Finehasi (mwana wa Eleazari): w11 9/15 30-32
Mikaeli: w98 6/1 17
Nathani (nabii): w05 5/15 18
Nehemia: w06 2/1 10
Paulo: bt 99; w97 8/1 17-18
Paulo alivyowatia wengine moyo: bt 166-167
Tito: w98 11/15 29-31
Yehova: jr 130-131; w07 6/15 19-20; ip-1 407
Yesu Kristo: w11 11/15 29-31; w10 5/15 9-11; jr 129; w02 3/15 17-18
mkuu (Eze 44-48): w99 3/1 16-17
mpango wa baraza la wazee waanzishwa (1972): w06 2/15 28; w02 7/1 17; ip-2 317; jv 105-107, 233-234
Moldova: yb04 119
mpango wa kupokezana majukumu waanzishwa: jv 106-107
mtazamo kuhusu—
kuhudumia kundi: w04 8/1 16-17
kuondolewa kuwa mzee Mkristo: w10 5/15 27-28; w09 8/15 30-32; w08 3/15 23; w01 2/1 21; ip-1 243; w97 5/15 24-25; w97 12/1 14
kuwa mwenye umri mkubwa au mlemavu: w08 8/15 20-21; w04 5/15 13
mapendeleo: w98 9/1 16-17
mtazamo unaofaa wa mzee Mkristo kujihusu: w99 6/1 15-16
wahubiri wanaotaka kusaidia kuwahubiria watu wanaoongea lugha nyingine: w05 12/1 26
Wakristo wenzi: cl 101-102
wazee wengine: w10 10/15 18; w05 6/1 16; w04 5/15 18-19; w98 2/15 26
mtazamo wa wengine kuwahusu wazee Wakristo: w11 6/15 24-28; lv 46-49; od 38-39; w01 6/15 20-21
hatua ya hukumu inapochukuliwa: w07 1/15 20; re 50-51; w99 6/1 17-18
heshima: w12 10/15 13-15; w08 10/15 22-23; w00 6/15 16-17, 21-22; w98 6/1 16-17
kujibu maswali kuhusu mambo ya kibinafsi ambayo lazima wazee waulize: w09 6/15 17
kusema kweli wakati wa kuungama makosa: lv 164-166
kutafuta makosa: w02 11/15 17; w97 8/1 8-10
kutokukamilika: w12 10/15 13-14
kuwaamini (kuwa na hakika kuwahusu) wazee Wakristo: w98 8/15 12-14; w97 3/1 27-28
kuwafikiria: w99 6/1 18-19
kuwanyenyekea: w08 6/15 21-22; w07 4/1 28; od 38, 53-54, 210; w02 3/15 15-17; w99 6/1 17-18
kuwathamini: od 28-29, 38-39; w96 10/15 24
kuwaunga mkono: w11 5/15 27; w09 10/15 16-17
maagizo kuhusu mambo madogo yanayotolewa na wazee: w11 9/15 27-28
maamuzi ya wazee Wakristo: w98 6/1 17
mambo yasiposhughulikiwa ifaavyo: w00 6/15 16-17
mtu anapoathiriwa na makosa yao: w12 10/15 13; w01 6/15 20-21
ushikamanifu: w96 3/15 17-19
wakati wa kushauriwa: w11 6/15 28; w97 5/15 27-28
wazee Wakristo walio na watoto: w96 10/15 24
ziara za uchungaji: km 7/98 1
mzee Mkristo kukubali anahitaji msaada: w04 5/1 20
sifa mbalimbali:
fadhili: w06 5/1 20
fadhili zenye upendo: w02 5/15 22
hawana upendeleo: ip-1 78-79, 84; w96 11/15 27
hisia-mwenzi: w99 6/1 12; w97 8/1 16
kiasi: w02 3/15 17
kutumika kwa hiari (kwa kupenda): w11 6/15 22
ndugu wanapaswa kujihisi huru kuwaendea: cf 148-149; w02 3/15 17-18; w00 2/15 15-16
subira: cf 163
upendo: cf 178-179; w06 5/1 17-19
upole: w06 5/1 21; w03 4/1 24-25
usawaziko: w08 3/15 5-6
ushikamanifu (uaminifu-ushikamanifu): w97 8/1 12
ustahimilivu: w06 5/1 20; w01 11/1 17
wachungaji wa kundi la Mungu: w08 3/15 5-6; w96 1/15 15
wema: w06 5/1 20-21
wenye amani: w01 9/1 12-13
sifa zinazomstahilisha ndugu kuwa mzee: od 29-37; w01 1/15 13-14
anamtunza mke: w96 10/15 17-18
asiyelaumika: w99 9/15 10; w97 1/1 27
bila shtaka: w97 1/1 27
hapaswi kuwa mwenye kuwapiga watu (kihalisi au kwa maneno): w07 5/1 22; g96 10/22 9
‘kushikilia imara neno la uaminifu’ (Tit 1:9): be 224, 267
kusimamia familia kwa njia nzuri: w12 5/15 9; w11 6/15 26; w96 10/15 20-24
kutegemeka (kutumainika): w97 3/1 28
mume wa mke mmoja: rs 227-229; w97 1/1 28; w96 10/15 15-17
mwenye kujizuia: w97 1/1 29
sehemu mbalimbali za tunda la roho ya Mungu: od 36-37; w01 1/15 14
sifa za kustahili kufundisha: od 34-35
unyenyekevu: w99 8/1 14
ushuhuda mzuri kutoka kwa watu walio nje: w97 1/1 27
wanaume: od 31
“watoto wanaoamini” (Tit 1:6): w96 10/15 21
watoto watiifu: w96 10/15 20-21
wenye kiasi katika mazoea: jv 182
wenye usawaziko: od 33
wenye utaratibu: od 33
wenye utimamu wa akili: od 33-34
uchungaji: w11 6/15 20-26; jr 128-139; bt 172; w08 3/15 5-6; od 27-28; cl 102; w00 7/1 28-31; w98 2/15 27; w96 1/15 15-16; w96 3/15 24-27; w96 9/1 21
kufanya kazi ya uchungaji kwa hiari (kwa kupenda): w11 6/15 22
kuitumia Biblia: w96 1/1 30
kuonyesha tunda la roho: w06 5/1 17-21
kutenga wakati wa kufanya ziara za uchungaji: w96 3/15 27
kuuthamini: w02 11/15 24-25; w96 1/1 30
kuwatembelea dada: w96 10/15 17
kuwatia moyo walio na shaka kuhusu fundisho au maelezo: w08 11/15 14; w96 7/15 17
mambo yaliyoonwa: yb05 54; w98 2/15 27
mume na mke walio na matatizo: w12 5/15 10-11; w06 5/1 25
waangalizi wa vikundi wanafanya kazi ya uchungaji wa kiroho: km 10/08 1
wagonjwa: km 3/02 5
wahubiri wenye uzoefu waombwa wasaidie: w96 1/15 19-20
walioacha kushirikiana na kutaniko: jr 131-132
waliobatizwa karibuni: w96 1/15 17-20
waliokwazwa: w08 11/15 14
waliovunjika moyo: w02 9/1 21; w99 11/15 30-31
wasiotenda: w08 11/15 9, 11-16; km 2/06 5; w04 5/1 21-22; km 2/03 5; km 3/02 5
wazee kwa umri: w02 11/15 24-25
wenye upendo: w06 5/1 17-19
ziara za uchungaji: w06 5/1 21; w96 3/15 25-27
ufafanuzi: jv 35
uhusiano pamoja na ndugu na dada kutanikoni: w99 6/1 15-16
kuwa mwenye kutegemeka: w97 3/1 28
kuwapongeza wengine: w07 9/1 15-16
urafiki: w11 11/15 29
usawaziko kuhusu majukumu: w99 12/1 28-29
ustadi wa kufundisha: jr 132-135; od 34-35; w99 3/15 10-11, 13-14, 16-18; w98 2/15 25-26; w98 11/1 12; w96 1/1 30
kutayarisha hotuba: be 47-51
kutofundisha maoni ya binafsi: w07 12/15 27; w02 5/1 16
wajibu: w97 11/15 16
wake za wazee Wakristo: w09 5/15 19-20; w02 11/15 25; w99 6/1 19; w96 10/15 15-19
mke asiye mwamini: w96 10/15 21-22
shauri la Paulo (1Ti 3:11): w96 10/15 17
wajibu wa mume: w06 5/1 19; w02 11/15 25; w96 10/15 17-18
wanajidhabihu: cf 179; w96 10/15 19
Wanafunzi wa Biblia: jv 205-209, 212-213
wanafunzi wa Biblia: w96 5/15 17
“watukufu” (2Pe 2:10; Yuda 8): w08 11/15 22; w97 9/1 15-16
wazee Wakristo ni mifano kwa kutaniko: w07 12/15 29; w06 5/1 17-21; be 267; w00 7/1 20
“igeni imani yao” (Ebr 13:7): w02 3/15 17-18
wazee Wakristo wanapaswa kumtii Kristo: w10 9/15 27; w02 3/15 17-18
wazee Wakristo wanavyozoezwa: w06 5/1 22-26; w06 5/15 24
wazee Wakristo wanawasaidia—
akina dada: w06 9/15 27; w96 10/15 17
mume au mke anayemdhulumu mwenzi wake: g96 10/22 9
mume au mke asiye mwamini wa Mkristo mwenzi: km 11/10 6; w96 8/1 18-19
ndugu na dada wenye umri mkubwa: w08 8/15 19; w06 6/1 6-7; w04 5/15 17-19; w02 11/15 24-25
ndugu wafikie mapendeleo: w11 11/15 28-31
wahubiri wasio wa kawaida: km 10/98 1; km 6/96 1
wajane: w01 5/1 6
wakosaji: w98 8/1 15-17
wakosaji wanaotubu: w06 11/15 28-30; w01 6/1 30-31; w97 8/15 29; w96 9/15 21
Wakristo wanaoishi katika makao ya kuwatunzia wazee: w08 4/15 26-27
walioshuka moyo: g 7/09 7, 9; cl 166-167
walio wagonjwa kiroho: w11 6/15 22; w97 11/15 23
wanaobishana kuhusu mambo madogo-madogo na mambo ya kukisia: w00 5/1 12
wanaokunywa kupita kiasi au kuvuta sigara wakiwa faraghani: w06 11/15 30; w96 1/15 18
wanaoonyesha dalili za kuacha kuwa watendaji: km 3/02 5
wanaopambana na udhaifu: w03 9/1 18-19
wanaotaabika: w02 2/15 23; w99 5/15 26-27
wasiotenda: w08 11/15 9, 11-16; km 1/08 4-5; km 3/07 1; km 2/06 5; w04 5/1 21-22; km 2/04 3; km 2/03 5; km 2/02 4-5; km 3/02 1, 4-5; km 4/01 3; km 11/00 3
watu ambao wamedhulumiwa kingono: yp1 233-234
watu wasioelewana: w11 8/15 30; w11 9/15 31-32
wazee Wakristo watatoa hesabu: w07 4/1 29-30; w96 9/15 20-21
wazee Wakristo wengi zaidi wanahitajiwa: w11 11/15 28
“zawadi katika wanadamu” (Efe 4:8-16): w10 9/15 18-19; w07 4/1 27; w05 9/15 22; w02 3/15 15; w01 9/15 19; w00 12/1 16; w99 6/1 9-19
Waangalizi
mwangalizi wa jiji: od 46
neno la Kigiriki: jv 35
waangalizi wanawaheshimu walio chini ya usimamizi wao: w08 10/15 22; w08 12/15 30
waangalizi wa vikundi: km 8/09 6; km 10/08 1
wadhifa (cheo) wa mwangalizi na mzee ni sawa: jv 35
jinsi wadhifa wa mwangalizi na wa mzee ulivyopata kutofautiana katika dini zinazodai kuwa za Kikristo: jv 35-36
wasimamizi nyumba (Tit 1:7): w12 12/15 10