WAZEE 24
huenda ikawa wanahusika katika kuwajulisha mabaki kweli za Mungu: w07 1/1 27-28; re 125
makuhani: re 77, 79-80, 85, 87
wale 144,000 waimba mbele ya wazee 24 (Ufu 14:3): re 201
wamshukuru Yehova kwa kuchukua mamlaka (Ufu 11:16, 17): re 172-173
“wanaimba wimbo mpya” (Ufu 5:9): re 85, 87
wanamsifu Yehova kwa uharibifu wa Babiloni Mkubwa (Ufu 19:4): re 273-274
watambulishwa: re 77, 85-87, 172-173
watupa mataji yao mbele ya kiti cha ufalme cha Yehova (Ufu 4:10): re 81