Mwanzo 39:1 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 39 Sasa Yosefu akapelekwa Misri.+ Na Mumisri mumoja mwenye aliitwa Potifa,+ ofisa wa makao ya Farao na mwenye alikuwa mukubwa wa walinzi, akamununua kutoka kwa Waishmaeli+ wenye walikuwa wamemuleta kule.
39 Sasa Yosefu akapelekwa Misri.+ Na Mumisri mumoja mwenye aliitwa Potifa,+ ofisa wa makao ya Farao na mwenye alikuwa mukubwa wa walinzi, akamununua kutoka kwa Waishmaeli+ wenye walikuwa wamemuleta kule.