Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 40:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Basi wakamuambia: “Kila mumoja wetu aliota ndoto, lakini hakuna mutu wa kutufasiria maana yake.” Yosefu akawaambia: “Je, mafasirio hayatoke kwa Mungu?+ Tafazali, munielezee ndoto zenu.”

  • Danieli 2:23
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 23 Kwako wewe, Ee Mungu wa mababu zangu, ninatoa shukrani na sifa,

      Kwa sababu umenipatia hekima na nguvu.

      Na sasa umenijulisha jambo lenye tulikuomba;

      Umetujulisha jambo lenye linamuhangaisha mufalme.”+

  • Danieli 2:28
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 28 Lakini kuko Mungu mbinguni mwenye kuwa Mufunuaji wa siri,+ na amemujulisha Mufalme Nebukadneza mambo yenye yanapaswa kutokea katika kipindi cha mwisho cha zile siku. Hii ndiyo ndoto yako, na haya ndiyo maono ya kichwa chako wakati ulikuwa umelala katika kitanda chako:

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine