-
Mwanzo 45:11Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
11 Nitakupatia chakula kule, kwa maana kungali miaka tano (5) ya njaa.+ Kama haiko vile, utakuwa maskini, wewe na nyumba yako na kila kitu chenye uko nacho.’”
-
-
Mwanzo 47:19Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
19 Sababu gani tukufe mbele ya macho yako, sisi na mashamba yetu? Utununue sisi na mashamba yetu kwa kubadilishana na chakula, na sisi pamoja na mashamba yetu tutakuwa watumwa wa Farao. Utupatie mbegu ili tuweze kuishi na tusikufe na ili mashamba yetu yasikae bila kitu.”
-