-
Mwanzo 39:6Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
6 Mwishowe akaacha kila kitu chenye kilikuwa chake katika mikono ya Yosefu, na Potifa hakukuwa anahangaikia kitu kingine isipokuwa chakula chenye alikuwa anakula. Tena, Yosefu akakuwa mwanaume mwenye umbo ya muzuri na sura ya kupendeza.
-
-
Zaburi 105:21Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
21 Akamufanya kuwa bwana wa nyumba yake,
Mutawala juu ya mali zake zote,+
-