Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 44:18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 Sasa Yuda akamukaribia na kusema: “Ninakuomba, bwana wangu, tafazali acha mutumwa wako aseme neno moja katika masikio ya bwana wangu, na usimukasirikie mutumwa wako, kwa sababu wewe uko kama Farao.+

  • Mwanzo 45:8
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 8 Kwa hiyo basi, haiko ninyi ndio mulinituma huku, lakini ni Mungu wa kweli, ili aniweke kuwa mushauri mukubwa* wa Farao na bwana kwa ajili ya nyumba yake yote na mutawala juu ya inchi yote ya Misri.+

  • Matendo 7:9, 10
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 9 Na wale vichwa vya familia wakamusikilia Yosefu+ wivu na wakamuuzisha apelekwe Misri.+ Lakini Mungu alikuwa pamoja naye,+ 10 na akamukomboa kutoka katika taabu zake zote na akamukubali na kumupatia hekima mbele ya Farao mufalme wa Misri. Na akamuweka aongoze Misri na nyumba yake yote.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine