9 Na wale vichwa vya familia wakamusikilia Yosefu+ wivu na wakamuuzisha apelekwe Misri.+ Lakini Mungu alikuwa pamoja naye,+ 10 na akamukomboa kutoka katika taabu zake zote na akamukubali na kumupatia hekima mbele ya Farao mufalme wa Misri. Na akamuweka aongoze Misri na nyumba yake yote.+