-
Mwanzo 47:23Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
23 Kisha Yosefu akaambia watu: “Muangalie, leo nimewanunua ninyi na mashamba yenu kwa ajili ya Farao. Mukamate mbegu, na munapaswa kuzipanda katika mashamba.
-
-
Zaburi 105:17Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
17 Alituma mutu mumoja awatangulie
Mwenye aliuzishwa ili kuwa mutumwa, Yosefu.+
-