Mwanzo 3:17 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 17 Na akamuambia Adamu:* “Kwa sababu ulisikiliza sauti ya bibi yako na ukakula matunda ya muti wenye nilikupatia amri hii,+ ‘Haupaswe kula matunda yake,’ udongo umelaaniwa kwa sababu yako.+ Kwa maumivu utakula mazao yake siku zote za maisha yako.+
17 Na akamuambia Adamu:* “Kwa sababu ulisikiliza sauti ya bibi yako na ukakula matunda ya muti wenye nilikupatia amri hii,+ ‘Haupaswe kula matunda yake,’ udongo umelaaniwa kwa sababu yako.+ Kwa maumivu utakula mazao yake siku zote za maisha yako.+