-
Mwanzo 47:29, 30Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
29 Wakati wa kufa kwa Israeli ulikaribia,+ kwa hiyo akamuita Yosefu mwana wake na kumuambia: “Kama sasa, nimekubaliwa mbele ya macho yako, tafazali weka mukono wako chini ya paja langu, na unionyeshe upendo mushikamanifu na uaminifu. Tafazali, usinizike Misri.+ 30 Wakati nitakufa, unapaswa kunichukua kutoka Misri na kunizika katika kaburi la mababu zangu.”+ Basi, Yosefu akasema: “Nitafanya kama vile unasema.”
-
-
Mwanzo 50:13Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
13 Wana wake wakamupeleka mupaka katika inchi ya Kanaani na wakamuzika katika pango la shamba la Makpela, shamba lenye kuwa mbele ya Mamre na lenye Abrahamu alinunua kwa Efroni Muhiti ili likuwe mahali pa kuzikia.+
-