Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 15:16
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 16 Lakini wazao wako watarudia hapa+ katika kizazi cha ine (4), kwa sababu kosa la Waamori halijafikia bado kipimo chake kamili.”+

  • Mwanzo 28:15
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 15 Niko pamoja na wewe, na nitakulinda kila mahali kwenye utaenda, na nitakurudisha kwenye inchi hii.+ Sitakuacha mupaka wakati nitatimiza mambo yenye nimekuahidi.”+

  • Mwanzo 47:29, 30
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 29 Wakati wa kufa kwa Israeli ulikaribia,+ kwa hiyo akamuita Yosefu mwana wake na kumuambia: “Kama sasa, nimekubaliwa mbele ya macho yako, tafazali weka mukono wako chini ya paja langu, na unionyeshe upendo mushikamanifu na uaminifu. Tafazali, usinizike Misri.+ 30 Wakati nitakufa, unapaswa kunichukua kutoka Misri na kunizika katika kaburi la mababu zangu.”+ Basi, Yosefu akasema: “Nitafanya kama vile unasema.”

  • Mwanzo 50:13
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 13 Wana wake wakamupeleka mupaka katika inchi ya Kanaani na wakamuzika katika pango la shamba la Makpela, shamba lenye kuwa mbele ya Mamre na lenye Abrahamu alinunua kwa Efroni Muhiti ili likuwe mahali pa kuzikia.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine