Kutoka 1:1-4 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 1 Basi haya ndiyo majina ya wana wa Israeli wenye waliingia Misri pamoja na Yakobo, kila mwanaume mwenye alikuja pamoja na nyumba yake:+ 2 Rubeni, Simeoni, Lawi, na Yuda;+ 3 Isakari, Zabuloni, na Benyamini; 4 Dani na Naftali, Gadi na Asheri.+
1 Basi haya ndiyo majina ya wana wa Israeli wenye waliingia Misri pamoja na Yakobo, kila mwanaume mwenye alikuja pamoja na nyumba yake:+ 2 Rubeni, Simeoni, Lawi, na Yuda;+ 3 Isakari, Zabuloni, na Benyamini; 4 Dani na Naftali, Gadi na Asheri.+