-
Hesabu 26:12, 13Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
12 Wana wa Simeoni+ kulingana na familia zao walikuwa: kutoka kwa Nemueli, familia ya Wanemueli; kutoka kwa Yamini, familia ya Wayamini; kutoka kwa Yakini, familia ya Wayakini; 13 kutoka kwa Zera, familia ya Wazera; kutoka kwa Shauli, familia ya Washauli.
-