35 Na akakuwa na mimba mara ingine tena na akamuzaa mwana, kisha akasema: “Mara hii nitamusifu Yehova.” Kwa hiyo akamupatia jina Yuda.*+ Kisha Lea akaacha kuzaa.
5 Lakini mumoja wa wale wazee akaniambia: “Acha kulia. Angalia! Simba wa kabila la Yuda,+ muzizi+ wa Daudi,+ ameshinda+ ili afungue kile kitabu cha kukunjwa na mihuri yake saba (7).”