-
Mwanzo 38:2-5Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
2 Yuda akaona kule binti mumoja Mukanaani+ mwenye aliitwa Shua. Kwa hiyo akamukamata na kulala naye, 3 na akakuwa na mimba. Kisha wakati fulani akamuzaa mwana, na Yuda akamupatia jina Eri.+ 4 Akakuwa tena na mimba na akazaa mwana na akamupatia jina Onani. 5 Kisha akazaa tena mwana na akamupatia jina Shela. Huyo* alikuwa katika muji wa Akzibu+ wakati Shua alizaa Shela.
-