-
Hesabu 26:38-40Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
38 Wana wa Benyamini+ kulingana na familia zao walikuwa: kutoka kwa Bela,+ familia ya Wabela; kutoka kwa Ashbeli, familia ya Waashbeli; kutoka kwa Ahiramu, familia ya Waahiramu; 39 kutoka kwa Shefufamu, familia ya Washufamu; kutoka kwa Hufamu, familia ya Wahufamu. 40 Wana wa Bela walikuwa Ardi na Naamani:+ kutoka kwa Ardi, familia ya Waardi; kutoka kwa Naamani, familia ya Wanaamani.
-