-
Mwanzo 35:10, 11Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
10 Mungu akamuambia: “Jina lako ni Yakobo.+ Jina lako halitakuwa tena Yakobo, lakini sasa jina lako litakuwa Israeli.” Na Mungu akaanza kumuita Israeli.+ 11 Mungu akaendelea kumuambia: “Mimi ni Mungu Mweza-Yote.+ Zaa na uongezeke. Mataifa na kutaniko la mataifa yatatoka ndani yako,+ na wafalme watatoka ndani yako.*+
-