-
Mwanzo 41:48, 49Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
48 Na aliendelea kukusanya chakula chote cha ile miaka saba (7) katika inchi ya Misri, na alikuwa anarundika chakula hicho katika miji. Katika kila muji alikuwa anakusanya chakula katika maeneo ya mashamba yenye kuzunguka muji huo. 49 Yosefu akaendelea kurundika nafaka nyingi sana, kama muchanga wa bahari, mupaka, mwishowe, wakaacha kuipima kwa sababu haikuweza kupimwa.
-