Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 41:48, 49
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 48 Na aliendelea kukusanya chakula chote cha ile miaka saba (7) katika inchi ya Misri, na alikuwa anarundika chakula hicho katika miji. Katika kila muji alikuwa anakusanya chakula katika maeneo ya mashamba yenye kuzunguka muji huo. 49 Yosefu akaendelea kurundika nafaka nyingi sana, kama muchanga wa bahari, mupaka, mwishowe, wakaacha kuipima kwa sababu haikuweza kupimwa.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine