-
Mwanzo 47:22Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
22 Ni mashamba ya makuhani tu ndiyo hakununua,+ kwa sababu chakula cha makuhani kilikuwa kinatoka kwa Farao na makuhani waliishi kwa kutegemea chakula chenye Farao aliwapatia. Ndiyo sababu wao hawakuuzisha mashamba yao.
-