Mwanzo 47:9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 9 Yakobo akamuambia Farao: “Miaka ya kuhama-hama kwangu* iko miaka mia moja makumi tatu (130). Miaka ya maisha yangu imekuwa kidogo na yenye taabu,+ nayo haijafikia hesabu ya miaka ya maisha ya mababu zangu wakati walikuwa wanahama-hama.”*+
9 Yakobo akamuambia Farao: “Miaka ya kuhama-hama kwangu* iko miaka mia moja makumi tatu (130). Miaka ya maisha yangu imekuwa kidogo na yenye taabu,+ nayo haijafikia hesabu ya miaka ya maisha ya mababu zangu wakati walikuwa wanahama-hama.”*+