Kutoka 20:13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 “Haupaswe kuua.+ Hesabu 35:30 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 30 “‘Kila mutu mwenye anaua mutu* anapaswa kuuawa kama muuaji wa kukusudia+ kwa ushuhuda wa* mashahidi;+ lakini hakuna mutu mwenye atauawa* kwa ushuhuda wa shahidi mumoja tu. Matayo 26:52 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 52 Kisha Yesu akamuambia: “Rudisha upanga wako mahali pake,+ kwa maana wote wenye wanatumikisha upanga watakufa kwa upanga.+
30 “‘Kila mutu mwenye anaua mutu* anapaswa kuuawa kama muuaji wa kukusudia+ kwa ushuhuda wa* mashahidi;+ lakini hakuna mutu mwenye atauawa* kwa ushuhuda wa shahidi mumoja tu.
52 Kisha Yesu akamuambia: “Rudisha upanga wako mahali pake,+ kwa maana wote wenye wanatumikisha upanga watakufa kwa upanga.+