Mwanzo 10:19 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 19 Basi mupaka wa Wakanaani ulianzia Sidoni kufikia Gerari,+ karibu na Gaza,+ kufikia Sodoma, Gomora,+ Adma, Seboimu,+ karibu na Lasha. Mwanzo 13:12 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 12 Abramu alikaa katika inchi ya Kanaani, lakini Loti akakaa katika miji ya wilaya hiyo.+ Mwishowe akasimamisha hema yake karibu na Sodoma.
19 Basi mupaka wa Wakanaani ulianzia Sidoni kufikia Gerari,+ karibu na Gaza,+ kufikia Sodoma, Gomora,+ Adma, Seboimu,+ karibu na Lasha.
12 Abramu alikaa katika inchi ya Kanaani, lakini Loti akakaa katika miji ya wilaya hiyo.+ Mwishowe akasimamisha hema yake karibu na Sodoma.