Kumbukumbu la Torati 2:10, 11 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 10 (Waemi+ waliishi kule zamani, walikuwa watu wenye nguvu na wengi sana na warefu kama Waanaki. 11 Warefaimu+ pia walionwa kama Waanaki,+ na Wamoabu walikuwa wanawaita Waemi.
10 (Waemi+ waliishi kule zamani, walikuwa watu wenye nguvu na wengi sana na warefu kama Waanaki. 11 Warefaimu+ pia walionwa kama Waanaki,+ na Wamoabu walikuwa wanawaita Waemi.