-
Waebrania 7:1, 2Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
7 Kwa maana huyu Melkisedeki, mufalme wa Salemu, kuhani wa Mungu Mwenye Kuwa Juu Zaidi, alikutana na Abrahamu wakati alikuwa anarudia kutoka kuua wafalme na akamubariki,+ 2 na Abrahamu akamupatia* sehemu moja ya kumi (1/10) ya kila kitu. Kwanza, jina lake linatafsiriwa “Mufalme wa Haki,” na kisha pia mufalme wa Salemu, ni kusema, “Mufalme wa Amani.”
-