Mwanzo 14:13 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 13 Kisha mambo hayo mutu mwenye alikuwa ameponyoka akakuja kumuambia Abramu Mwebrania. Wakati huo alikuwa anakaa kati ya miti mikubwa ya Mamre ule Mwamori,+ ndugu ya Eshkoli na Aneri.+ Wanaume hao walikuwa wamefanya mapatano na* Abramu.
13 Kisha mambo hayo mutu mwenye alikuwa ameponyoka akakuja kumuambia Abramu Mwebrania. Wakati huo alikuwa anakaa kati ya miti mikubwa ya Mamre ule Mwamori,+ ndugu ya Eshkoli na Aneri.+ Wanaume hao walikuwa wamefanya mapatano na* Abramu.