7 Kisha Yehova akamutokea Abramu na kumuambia: “Nitapatia uzao+ wako* inchi hii.”+ Kwa hiyo Abramu akajenga mazabahu pale kwa ajili ya Yehova, mwenye alikuwa amemutokea.
5 Hata hivyo, hakumupatia uriti wowote ndani yake, hapana, hata sehemu yenye kuenea ukubwa wa kukanyanga kwa muguu wake; lakini aliahidi kumupatia ikuwe mali yake na kisha yeye kuipatia wazao wake,*+ hata kama alikuwa hajapata mutoto.