4 Lakini Farao hatawasikiliza, na nitaweka mukono wangu juu ya Misri na kutosha vikundi vyangu,* watu wangu, Waisraeli, katika inchi ya Misri kwa matendo makubwa ya hukumu.+
4 Wakati huo, Wamisri walikuwa wanazika wazaliwa wao wote wa kwanza wenye Yehova alikuwa amepiga na kuua kati yao,+ kwa kuwa Yehova alikuwa ameleta hukumu juu ya miungu yao.+