7 Kwa njia ileile, watu wa Sodoma na Gomora na miji yenye iliwazunguka walifanya uasherati wa kupita kipimo na walifuatilia tamaa za mwili+ zenye hazikukuwa za asili; wamewekwa mbele yetu kuwa mufano wa kuonya kwa sababu walihukumiwa azabu ya milele kwa moto.+