-
2 Petro 2:7-9Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
-
-
7 Na alimukomboa Loti mwenye haki,+ mwenye alihuzunishwa sana na mwenendo mupotovu wa bila haya* wa watu wenye kuvunja sheria— 8 kwa maana kila siku mutu huyo mwenye haki alikuwa anatesa nafsi* yake yenye haki kwa sababu ya matendo ya kuvunja sheria yenye aliona na kusikia wakati alikuwa anaishi kati yao. 9 Kwa hiyo basi, Yehova* anajua namna ya kukomboa kutoka katika jaribu watu wenye ushikamanifu kwa Mungu,+ lakini kufanya watu wenye hawako wenye haki wangojee kuharibiwa katika siku ya hukumu,+
-